Kwa mara ya kwanza ninatoa kauli yangu kuhusu lile tukio lililoshuhudiwa maeneo ya Embakasi jijini Nairobi, mnamo siku ya Jumanne.
Kanda kadhaa za video zilinasa genge la wanaume wakishirikiana katika shughuli pevu ya kumvua nguo mwanamke mmoja, kwa madai kwamba mtindo wake wa mavazi ulikosa maadili katikati mwa jiji. Kanda hizo zimekuwa zikizagaa mitandaoni hasa ile ya kijamii kama vile Facebook, Twitter, na katika hifadhi ya video ya YouTube; Hata mimi nikajipatia nakala yangu.
Mengi yamesemwa kuhusu kitendo hicho, huku wengi wakionekana kuegemea upande wa muathiriwa huyo, wakiwashtumu vikali wahusika waliomvua nguo. Swadakta. Hata mimi ningepagawa iwapo jambo hilo lingemtukia mke wangu, mchumba au mpendwa yeyote wa karibu. Aibu iliyoje? Si vyema.
Hata hivyo, upanga wangu ni mkali, upatao kuwili. Hebu tuangazie eneo la tukio. Ni Nairobi, mji mkuu wa Kenya, nchi ambayo imejikita katika mizizi ya tamaduni za kiafrika na hilo si la kupingwa.
Hebu niwaulize wale wanaoshikilia msimamo kwamba wale waliotekeleza kitendo hicho walikosea na wanapaswa kushtakiwa. Je, huyo kipusa hakukosea alipotoka nyumbani kwake akijua amevalia nguo zilizoanza kuchelewa na kuisha mapema?
Najua mabaya mawili hayazai sahihi, lakini wakati wote enyi wasichana muwe makini kimavazi. Mjue kwamba mnapotembea katikati ya wanaume, kunao wasiosumbuka na wengine wenye mioyo dhaifu. Si vyema mwenzako kumpandishia hisia na baadaye hutamsaidia.
Namalizia kwa kuwapongeza sana wale wote waliojitolea kumsaidia mwanamke huyo, aliyekuwa amejiweka nusu uchi lakini kwa ushirikiano wao wakamfanya awe uchi kikamilifu. Hiyo ndiyo adhabu mwafaka impasayo mwanamke yeyote atakayevaa mavazi yasiyomsitiri hadharani. Tafadhalini wenzangu popote mlipo, nawarai tena kwa moyo mkunjufu, mkiona mwanamke mwengine kama huyo mvueni kabisa, msisaze hata chupi!

No comments:
Post a Comment